8.8 C
London
Saturday, April 27, 2024
HomeInternationalKENYAKadi ya A.T.M Nchini

Kadi ya A.T.M Nchini

Date:

Related stories

Tamasha Ya Muziki.

Wakuza mitaala wa humu nchini wamejadili vilivyo jinsi ya...

Kenyan Doctors Reject Government Offer, Strike Continues Over Internship Issue

In a recent development, the doctors' union in Kenya...

Delegates Convene for Talks on Plastic Pollution

Delegates during the official opening of the Third Session...

Government and Doctors Nearing Deal as Talks Extend to Tuesday

In an encouraging update, Head of Public Service Felix...
spot_imgspot_img
Reading Time: 3 minutes

Nchini kenya ni dhahiri shahiri kuwa kadi ya A.T.M inatumika na wafanyibiashara . Kadi hii hutumiwa na benki mbalimbali kama vile benki ya equity , benki familia, K.C.B. na kadhalika.ili mkenya kupata kadi hii ni lazima ajisajili kwenye benki kabla kupatiwa kadi hii. Hapo zama za kale watu walikuwa wanapanga foleni ili kuhudumiwa kwenye benki.

Hata hivyo kadi hii Ina manufaa kama ifuatavyo . Matumizi ya mitambo wa A.T.M yameiwezesha mteja kupata hudumu azitakazo wakati wowote. Mradi tu ana kadi ya benki hiyo.hali hii imepunguzwa wasiwasi ambao wateja walikuwa nayo wakati benki zinafungwa Jumapili na jumamosi ambapo huwezi kupata pesa ikiwa hauna kadi hii.

Uvumbuzi wa A.T.M umerahisisha shughuli za wateja wanaotaka huduma za benki.mtambo huu wa kiatimatiki yamesaidia kuondoa matatizo mengi ya wateja waliokuwa wanateseka wakati Kuna shughuli ya Dharura.
Mteja hupunguza udhaifu wa kupiga mlolongo mrefu akisubiri kupewa huduma katika benki . wakati mwingine milolongo hii ilichosha mno licha ya kupoteza wakati ambao walikuwa na shughuli mbalimbali, hata wagonjwa waliweza kupitia matatizo, hatimaye kukosa huduma muhimu.wakati wa kiangazi watu walichoka zaidi kusimama huku wakitokwa na jasho katika foleni

Mteja Hana haja ya kuenda kwa mlolongo katika sehemu anazohitajika kulipa bima au bili kwa mfano huduma ya maji , stima , posta na hata karo ya mwanafunzi shuleni.kadi hii imerahisisha kazi yao.mteja anahitajika kuzijua nambari za akaunti za mashirika Yao . mitambo ya A.T.M humwongoza anayemiliki kadi jinsi ya kutumia kadi hiyo kila mara.
Si ajabu kufahamu kuwa mteja anaweza kuweka pesa kwenye akaunti yake au ya mtu mwingine.kisha mtambo huu utamwongoza mtu katika hatua zote hadi kufikia mwisho ambapo ataweza kutoa hela.mtu katika hatua zote kufikiria mwisho ambapo utamtolea mtu bahasha ya kuweka pesa . hatimaye mtambo huo utampatia mteja risiti kuonyesha shughuli zimekamilika.

A.T.M Husaidia mteja kupata huduma kadha kwa haraka. Mtu anaweza kupata hela zaka wakati wowote anahitaji, hata kama ni wakati wa dharura, mradi tu una kadi yako mkononi mwako. Watu wengi hudhani kuwa ni vigumu kutumia kadi ya A.T.M jawabu ni kuwa si vigumu .mradi tu mteja ana kadi maalum. Kutoka kwa benki anaweza kutumia kwa tawi yoyote ya benki kote ulimwenguni. Mteja anashahuriwa kuweza vyema nambari ya Siri kila mara ,yaani ” password” wakati unatumia A.T.M. Jambo la kwanza ni maandishi na Kisha salamu kwa sauti. Kisha mteja anaruhusiwa kutambua lugha ambayo inayofahamu Bora zaidi.kisha mteja anaulizwa kuweka nambari yake ya Siri kwenye kiwambo wa A.T.M utamwangazia achagua ili kuhudumiwa anayohitaji. Ikiwa ni kutoa pesa au au kuangalua Salio yako kwenye kiwambo.

Ujio wa kadi ya A.T.M imeleta matumani kwa wafanyibiashara kwa hivyo wanaweza kuchukua mkopo kutoka kwenye benki Kisha wakalipia baadaye. Kutembea na hela kiasi Cha juu si rahisi kwasababu unaweza kuibiwa kwa haraka. Ingawa uvumbuzi wa kadi ya A.T.M.umaleta ufanisi mwingi nchini.kuna matatizo kadhaa yanayojitokeza . baadhi ya matatizo ni kuwa mteja hujitolea hale tu wakati wowote hata asipozihitaji .Hali hii inaweza kusababisha umaskini. Hamu hii humpelekea mteja kumaliza fedha zake wakati ambapo angehitaji kwa Mambo ya dharura. Kumetokea pia matukio ya kusikitisha ambapo wakora huwavizia wateja au kuvamia wateja wanaotumia huduma za kadi ya A.T.M.wengi wamehasiriwa na wakora wakati wa usiku au karibu na mitambo ya A.T.M. pasipo na ulinzi wa kutosha.wakati mwingine mteja anaweza kuwa na dhamira ya kupata pesa wakati benki zimefungwa lakini akute mitambo umeharibika.

Kadi za A.T.M.hukubwa na tatizo la kubadilishwa kila wakati zikipotea. Hii Huwa ni mzigo kwa mteja .na hasara kwa yule anayegharamia kadi hii.kabla kupata kadi hii. Ikiwa huna pesa basi utakosa kadi hii. Si ajabu kufahamu kuwa ukisahau nambari ya Siri basi kadi yako itakuwa vigumu kufunguliwa.
Elimu ya kusoma na kuandika.ikiwa haujui kusoma na kuandika bila shaka kadi hii hatakuwa ya msaada kwako.lazima mteja afahamu namna kadi hii inavyotumika vyema.hata hivyo maelezo haya yanaweza kumsaidia mtu kufahamu kadi hii vyema kabla kuchukua kadi ya A.T.M unahitaji kuweka kiasi kiasi Cha hela kama vile shilingi mia Tano na zaidi.baaada ya hayo utaweza mmiliki kadi hii .kadi ya A.T.M hupatikana katika mji mkuu pekee kule mashinani ni vigumu kupata huduma duma ya kadi hii .utalazimika kwende hadi mjini kutoa pesa za matumizi ya kila siku.ni matumaini kuwa kadi ya A.T.M itaweza kufikia maeneo ya mashambani kwa muda mfupi.elimu yakutosha inafaa kutolewa kwa wananchi ili wasipoteze kadi zao na kusahau nambari za siri, kuepuka kutapeliwa kila mara
Mtu

About The Author

Subscribe

- Never miss a story with notifications

- Gain full access to our premium content

- Browse free from up to 5 devices at once

Latest stories

spot_img

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here