7 C
London
Friday, September 27, 2024
HomeCommunityFahamu Zaidi Alama Za Barabarani

Fahamu Zaidi Alama Za Barabarani

Date:

Related stories

Vumbi Ni Hatari Katika Afya yetu?

Vumbi ni hali ya chembe zinazopeperuka hewani za asili...

Hofu Yatanda Kufuatia Mlipuko Wa Mpox

Ugonjwa wa Mpox husababishwa na virusi vya "Monkey Pox"...

Je, Kamusi Inatofautiana Vipi Na Vitabu Vingine?

Shuleni ni mahali ambapo wanafunzi huenda ili kupata elimu....

Usilojua Kuhusu Damu Mwilini

Damu husafisha gesi kwenye mwili wa binadamu, hutoa uchafu...

Kibarua Cha Nacada

Sikuwai tambua kuwa pombe ina madhara mengi maishani, nilipokuwa...
spot_imgspot_img
Reading Time: 3 minutes

Alamu za barabarani huweza kuwa nguzo muhumu kwenye kando ya barabara ili kutoa habari, onyo au maelekezo kwa watu wanaopitia kwa vyombo vya usafiri au miguu. Alama za barabarani hutumia picha au matini mafupi ya neno moja au maneno machache kwa madereva au watumiaji wengine wa barabara.

Alama hizi huelimisha kama vile alama za michoro ya sakafuni zinazodokeza njia maluumu, au mahali pa kusimama, nafasi ya kwenda kwa miguu. Umbo sanifu na kufuata utaratibu wa kisheria zikiwa pia na nguvu za kisheria. Wakati mwingine kuna pia alama ambazo zilizotengenezwa na kusimamishwa kila mahali zinaonekana tofauti.

Kuna alama za maelekezo na taarifa, ambazo hutoa taarifa kuhusu maelekezo juu ya watumiaji bora wa barabara au uelekezo na huwa katika umbo la pembe nne na mara nyingi kwa rangi ya buluu, kijani au nyekundu. Mara nyingi alama za amri hukataza, kama vile kutoingia barabara kutopiga kona upande fulani, kutozidi Kasi ya kiwango fulani, tahadhari au alama za onyo hutoa habari za hatari katika sehemu ya barabara, uwezekano wa wanyama kukata njia au kuvuka njia, sehemu nyembamba katika njia ya kama ya daraja. Alama hizo huwa kwa umbo la pembe tatu. Vilevile kutoinjia barabara kupiga kona upande fulani, kutozidi kasi ya kiwango.

Alama za kudhibiti huwatahadharisha watumiaji wa barabara kuhusu sheria au mahitaji ambayo lazima yafuatwe kwenye barabara hiyo. Ishara kama hizo ni pamoja na ishara na kikomo cha Kasi, ishara za kuacha na ishara za zawadi, alama hizi ni muhimu kwa huelekeza watumiaji wa barabara jinsi ya kuendesha kwa usalama na kudumisha utaratibu wa barabara. Mtembeaji anastahili kuruka, barabara aonapo rangi ya kijani kibichi. Hata hivyo Sharti ahakikishe barabara ni wazi. Njia pana na ndefu ipitayo magari, pikipiki, watu na vyombo vingine vya usafiri wa nchi kavu.

Alama za barabarani zina umuhimu gani? Kutoa maelezo au hata onyo. Upuuzaji wa alama za barabarani mara kwa mara husababisha nini? Ni muhimu basi sisi sote tuzitilia maanani alama za barabarani. Taa za barabarani, rangi nyekundu humaanisha kuwa dereva asimamishe gari. Alama za barabarani hutoa amri kwa watumiaji wa barabara juu ya jambo kulingana na sehemu husika na huwa lazima tutii sheria za barabarani kikamilifu.

Ni vyema kufahamu kuwa alama ambazo zipo kila mahali zinapotakiwa ziwe, hatuhutaji kuwa na askari. Alama zenyewe zinatosha kuongoza magari, kutahadharisha, kutoa taarifa na hata kumzuia asitende kosa, sasa kwa nini ni lazima askari awe barabarani? hata pale ambapo alama zinakuwepo? Alama hizi hutoa taarifa humpatia dereva maelezo kuhusu alipo au anakoelekea. Zipo alama za barabarani ambazo zinakataza dereva asitende jambo fulani tu, yaani kipi ufanye kipi usifanye. Alama hizi hutoa tahadhari ya kitu kilichopo eneo alipo dereva au mbele aendapo ili aweze kuchukua tahadhari ya kutosha.

Humwongoza dereva kuona njia ambapo anapokwenda barabarani. Vyombo vya moto hulazimika kusimama pale rangi ya taa zinaoongoza vyombo, pamoja na watumiaji wengine wa barabara kuonyesha rangi nyekundu, kwa mujibu wa sheria za usalama barabarani ni kosa la kisheria kuvuka wakati onaona rangi nyekundu, mbali na kuwa kosa pia ni hatari kutumia barabara kwa wakati huo inaweza kusababisha ajali kighafla. Mshale mwekundu pia unakuwa na maana ilikuwa unatakiwa kusimama hadi pale mshale wa kijani utakapoonekana rasmi.

Endapo ni lazima kusimama unapokaribia makutano ya barabara, ili kutoa nafasi kwa wanaotumia njia kwa wakati huo na zamu yao. Ni lazima pia kutumia njia kwa uangalifu mkubwa, maeneo ya makutano ya barabara huwa hatari kwa dereva.

Michoro na ishara za barabarani hudumisha usalama wa abiria, kwenye kivuko cha barabarani Sharti abiria wasubiri mpaka mtu wa rangi ya kijani kibichi anapoonekana kwenye taa. Ni wajibu wa dereva kuona vyema taa za barabarani kila wakati.
Tunaweza kufikiria kwamba nafasi au jengo bila ishara zote zingekuwa za machafuko na kupoteza mwelekeo. Katika suala hili umuhimu wa ishara za barabara sio tu kutoa muundo wa kazi wa jengo. Ni muhimu kufahamiana na ishara za barabarani, vile vile ishara ya jengo ni muhimu kupitia ishara za barabarani. Kila aina ya za usalama huwasilishwa kwa rangi na umbo maalumu.

Rangi na maumbo ya alama hizi huongozwa na taratibu za kiusalama za kimataifa kama inavyobainishwa. Aidha alama hizi huwekwa kwenye majengo kuelekeza njia za kutokea wakati wa dharura sakafu inayoteleza vifaa vyenye kemikali au vinavyoweza, vifaa vyenye kemikali au vinavyoweza kusababisha madhara. Alama za usalamu hutumika kikamilifu katika nchi zote za duniani na na huwekwa kwenye vifaa kama vile chupa za dawa au kemikali. Huwekwa pia kwenye vyombo vya usafiri kama vile, ndege, meli boti au magari ya kubeba mafuta katika mazingira tunayoshi zipo alama au michoro inayotoa ishara au kama tahadhari. Alama au michoro hiyo hujulikana.

About The Author

Subscribe

- Never miss a story with notifications

- Gain full access to our premium content

- Browse free from up to 5 devices at once

Latest stories

spot_img